Kamati tendaji ya Baraza la Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA) wameendesha kikao katika Ukumbi wa Lenana Mwanza, kujadili Michezo ya BAMMATA na kuongeza idadi ya Michezo ikiwemo timu za wanawake kwenye mpira wa miguu.
Pia kuangalia eneo ambalo mashindano hayo ya BAMMATA yanatarajiwa kufanyika hapo mwakani 2024
Mwenyekiti na katibu wa BAMMATA wakiendesha kikao cha kamati tendaji
Baadhi ya wajumbe wa kamati tendaji ya BAMMATA wakiwa kwenye kikao
Wajumbe kamati tendaji ya BAMMATA
Kikao cha kamati tendaji ya BAMMATA