Kanda ya Visiwani

Kada ya Visiwani

KUHUSU KANDA YA VISIWANI

Kanda ya visiwani ni moja kati ya kanda zinazounda Baraza la Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA), Ambapo ina jumla ya timu teule idadi 10 nazo ni:

a.   Timu teule ya mpira wa miguu

b.   Timu teule ya mpira wa Kikapu

c.    Timu teule ya mpira wa Mikono

d.   Timu teule ya mpira wa Netball

e.   Timu teule ya mpira wa Magongo

f.     Timu teule ya mpira wa Ukuta

g.   Timu teule ya mpira wa Wavu

h.   Timu teule ya Riadha

j.     Timu teule ya Shabaha

k.   Timu teule ya Karate


Kanda ya visiwani katika kukuza michezo nchini imekua ikihakikisha na kuwapatia mafunzo mbali mbali wachezaji,waamuzi na makocha hii imekua ikiongoza ushindani katika mashindano mbali mbali inayoshiriki ya ndani na nje ya nchi.

Habari na Matuikio katika Kanda ya Visiwani

Mchezo wa Riadha Kanda ya VISIWANI Januari 2022
Mchezo wa Riadha Kanda ya VISIWANI Januari 2022
Soma zaidi 🡢