Habari na Matukio

TANZANIA YANG'AA RIADHA KIMATAIFA

TANZANIA YANG'AA RIADHA KIMATAIFA

Tanzania imeendelea kung'ara katika anga la michezo ya kimataifa baada ya timu ya riadha ya Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) kufanya vizuri kwenye mashindano ya Majeshi ya Dunia.
JWTZ YATINGA UTURUKI ANTALYA KWA MASHINDANO YA DUNIA YA NUSU MARATHONI YA MAJESHI

JWTZ YATINGA UTURUKI ANTALYA KWA MASHINDANO YA DUNIA YA NUSU MARATHONI YA MAJESHI

WAWAKILISHI BAMMATA KIBARUANI UTURUKI KWENYE MASHINDANO YA DUNIA (3rd CISM World Military Half Marathon Championship)
KIKAO CHA MAANDALIZI BAMMATA

KIKAO CHA MAANDALIZI BAMMATA

KIKAO CHA MAANDALIZI YA MASHINDANO YA BAMMATA KILICHOFANYIKA MKOANI TABORA
Alphonce Simbu Aibuka Mshindi Mashindano ya Riadha ya Dunia 2025

Alphonce Simbu Aibuka Mshindi Mashindano ya Riadha ya Dunia 2025

Alphonce Simbu ashinda medali ya kwanza ya dhahabu ya Tanzania katika mbio za marathon za wanaume.
Kamati ya Utendaji ya BAMMATA Yawasili Zanzibar

Kamati ya Utendaji ya BAMMATA Yawasili Zanzibar

Baraza la Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA) Leo tarehe 03 September 2025 imewatembelea vijana wapiga Makachu eneo la Forodhani mjini Unguja Zanzibar katika kuelekea ufunguzi wa Mashindano ya Majeshi Tanzania yanayotarajiwa kuanza mnamo tarehe 06 September 2025.
Mwenyekiti wa Kamati Ndogo ya Uchumi Mipango na Fedha ya BAMMATA Aendesha Kikao.

Mwenyekiti wa Kamati Ndogo ya Uchumi Mipango na Fedha ya BAMMATA Aendesha Kikao.

Mwenyekiti wa Kamati Ndogo ya Uchumi Mipango na Fedha ya Baraza la Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA) DCF Kennedy Komba ameongoza kikao tarehe 10 March 2025 Kwenye ukumbi wa Corridor Spring hotel jijini Arusha
Wajumbe wa Kamati Ndogo ya BAMMATA ya mipango, uchumi na fedha wakiwa kwenye mkutano kujadili mambo mbali mbali ya kichumi na fedha

Wajumbe wa Kamati Ndogo ya BAMMATA ya mipango, uchumi na fedha wakiwa kwenye mkutano kujadili mambo mbali mbali ya kichumi na fedha

Wajumbe wa Kamati Ndogo ya BAMMATA ya mipango, uchumi na fedha wakiwa kwenye mkutano kujadili mambo mbali mbali ya kichumi na fedha uliofanyikableo tarehe 10 March 2025 kwenye ukumbi wa Corridor Spring hotel jijini Arusha
Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) pamoja na Jeshi la Polisi zashiriki " 2nd Military All African Games"

Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) pamoja na Jeshi la Polisi zashiriki " 2nd Military All African Games"

Jeshi la Ulinzi wa Wananchi wa Tanzania (JWTZ) lashiriki mashindano ya  " 2nd Military All African Games" yanayofanyika katika jiji kuu la Abuja Nchini Nigeria,katika mashindano hayo JWTZ kushiriki jumla ya michezo mitatu ambayo ni GOLF,  BOXING & MARATHON, mashindano hayo yalianza tarehe 18...
Kanali Davidi Luoga kuwa Katibu Mkuu wa BAMMATA

Kanali Davidi Luoga kuwa Katibu Mkuu wa BAMMATA

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi amteua Kanali Davidi Luoga kuwa Katibu Mkuu wa Baraza la Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA) ambaye akichukua nafasi ya Kanali Martin Msumari ambaye amepangiwa majukumu mengine ndani ya JWTZ.
Kanda ya Polisi yashiriki vikao vya EAPCCO GAMES

Kanda ya Polisi yashiriki vikao vya EAPCCO GAMES

Kanda ya Polisi yashiriki vikao vya EAPCCO GAMES katika jiji la Addis Ababa Nchini Ethiopia kwa ajili ya kukagua miundombinu ya michezo hiyo ambayo hujumisha nchi mbalimbali ikiwemo Tanzania,Burundi,Kenya,Rwanda,Sudan na Uganda,kwa upande wa Tanzania iliwakilishwa na ACP Nkuba na A/Insp Saddy Mrope,ambapo mashindano hayo...
Katibu Mkuu Mstaafu wa BAMMATA Kanali Martin Msumari na Mwenyekiti Mstaafu Kanda ya Magereza ACP Maltilda Mlawaa wapokea Zawadi ya Tuzo

Katibu Mkuu Mstaafu wa BAMMATA Kanali Martin Msumari na Mwenyekiti Mstaafu Kanda ya Magereza ACP Maltilda Mlawaa wapokea Zawadi ya Tuzo

Mwenyekiti wa BAMMATA Brig Gen Said Hamis Saidi akiwakabidhi Tuzo Kanali Martin Msumari na ACP Maltilda Mlawa kwa kutumikia vyema Baraza katika nafasi zao kwa kipindi chote cha Zaidi ya Miaka minne kama Katibu Mkuu wa BAMMATA na Mwenyekiti wa Kanda ya Magereza, baada...
Ufunguzi wa Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA) inayofanyika katika Uwanja wa Jamhuri Mkoani MOROGORO

Ufunguzi wa Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA) inayofanyika katika Uwanja wa Jamhuri Mkoani MOROGORO

Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Mh.Hemed Suleiman Abdulla  Mgeni  Rasmi Ufunguzi wa Michezo ya Majeshi  Tanzania (BAMMATA) itakayofanyika katika Uwanja wa Jamhuri  Mkoani  MOROGORO, inayofanyika  kuanzia Tarehe 06 September 2024 na inatarajiwa kuchukua siku Kumi.
Katibu Mkuu wa Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani (CISM) akutana na Mnadhimu Mkuu wa JWTZ

Katibu Mkuu wa Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani (CISM) akutana na Mnadhimu Mkuu wa JWTZ

Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ),Luteni Jenerali Salum Haji Othman amekutana na kufanya mazungumzo na Ujumbe wa Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani (CISM), ukiongozwa na Katibu Mkuu wa Baraza hilo,Navy Captain Robert Recchie  Upanga,  Jijini Dar Es Salaam...
Viongozi na Wajumbe wa Kamati tendaji ya BAMMATA wendesha Vikao Mkoani Mbeya

Viongozi na Wajumbe wa Kamati tendaji ya BAMMATA wendesha Vikao Mkoani Mbeya

Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Mjini Mh.Beno Malisa ashiriki na Viongozi na Wajumbe wa Kamati tendaji ya BAMMATA TAIFA katika Ufunguzi wa Vikao vinavyoendelea Mkoani Mbeya ambapo Mh.Malisa Alikuwa akimuwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Mbeya ,Tarehe 07/03/2024.