Habari na Matukio

Kamati ya Utendaji ya BAMMATA Yawasili Zanzibar

Baraza la Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA) Leo tarehe 03 September 2025 imewatembelea vijana wapiga  Makachu eneo la Forodhani mjini Unguja Zanzibar katika kuelekea ufunguzi wa Mashindano ya Majeshi Tanzania yanayotarajiwa kuanza mnamo tarehe 06 September 2025.... Read More

Kanali Davidi Luoga kuwa Katibu Mkuu wa BAMMATA

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi amteua Kanali Davidi Luoga  kuwa Katibu Mkuu wa Baraza la Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA) ambaye akichukua nafasi ya Kanali Martin Msumari ambaye amepangiwa majukumu mengine ndani ya JWTZ.... Read More