Baraza la Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA) Leo tarehe 03 September 2025 imewatembelea vijana wapiga Makachu eneo la Forodhani mjini Unguja Zanzibar katika kuelekea ufunguzi wa Mashindano ya Majeshi Tanzania yanayotarajiwa kuanza mnamo tarehe 06 September 2025....
Read More
Habari na Matukio
Mwenyekiti wa Kamati Ndogo ya Uchumi Mipango na Fedha ya Baraza la Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA) DCF Kennedy Komba ameongoza kikao tarehe 10 March 2025 Kwenye ukumbi wa Corridor Spring hotel jijini Arusha...
Read More
Wajumbe wa Kamati Ndogo ya BAMMATA ya mipango ,uchumi na fedha wakiwa kwenye mkutano kujadili mambo mbali mbali ya kichumi na fedha uliofanyikableo tarehe 10 March 2025 kwenye ukumbi wa Corridor Spring hotel jijini Arusha...
Read More
Jeshi la Ulinzi wa Wananchi wa Tanzania (JWTZ) lashiriki mashindano ya " 2nd Military All African Games" yanayofanyika katika jiji kuu la Abuja Nchini Nigeria,katika mashindano hayo
JWTZ kushiriki jumla ya michezo mitatu ambayo ni GOLF, BOXING & MARATHON, mashindano
...
Read More
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi amteua Kanali Davidi Luoga kuwa Katibu Mkuu wa Baraza la Michezo ya
Majeshi Tanzania (BAMMATA) ambaye akichukua nafasi ya Kanali Martin Msumari ambaye amepangiwa
majukumu mengine ndani ya JWTZ....
Read More