Habari na Matukio

Kamati ya utendaji na wajumbe wa mkutano mkuu wa BAMMATA

Mwenye kiti wa Baraza la Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA) Brigedia Jenerali Saidi Hamis Saidi (wakatikati walioka) akiwa na wajumbe wa kamati ya utendaji na wajumbe wa mkutano mkuu wa BAMMATA uliofanyika Mkoani Kilimanjaro kuanzia tarehe 7-8/12/2023 katika ukumbi wa chuo Cha Uhamiaji TRITA -MOS... Read More

BAMMATA WASHIRIKI KIKAO CHA KAMATI TENDAJI MWANZA 4 AUGUST 2023

Kamati tendaji ya Baraza la Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA) wameendesha  kikao katika Ukumbi wa Lenana Mwanza, kujadili Michezo ya BAMMATA na kuongeza idadi ya Michezo ikiwemo timu za wanawake kwenye mpira wa miguu. pia kuangalia eneo ambalo mashindano hayo ya BAMMATA yanatarajiwa kufanyi... Read More