Habari na Matukio

Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Zanzibar Mh. Tabia Maulid Tabia ashiriki sherehe za Ufunguzi wa Michezo ya BAMMATA

Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Zanzibar Mh. Tabia Maulid Tabia ashiriki sherehe za Ufunguzi wa Michezo ya BAMMATA

Mgeni rasmi katika Ufunguzi wa  Michezo ya Baraza la Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA)  Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Zanzibar Mh. Tabia Maulid Tabia(Mbunge), Mh. Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali Ahmed Abbas Ahmed  na Mwenyekiti wa BAMMATA Brigedia Jenerali Suleiman Gwaya,wakiwa katika sherehe...
BAMMATA MEDIA TOUR

BAMMATA MEDIA TOUR

Baraza la Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA) kupitia  Mawasiliano na Matukio Inajulisha kwamba Utaratibu wa Kufanya MEDIA TOUR katika Vipindi vya TV& Radio unaendelea kufanyika katika Vyombo vya Habari Mbalimbali Mkoani Dar es Salaam.
Koplo Hamis Maliki Mpili wa Kanda ya POLISI akabidhiwa cheti kwa kujitoa kwake kwa kuanzisha Kituo cha Michezo Mkoani Rukwa

Koplo Hamis Maliki Mpili wa Kanda ya POLISI akabidhiwa cheti kwa kujitoa kwake kwa kuanzisha Kituo cha Michezo Mkoani Rukwa

Mwenyekiti wa BAMMATA Brigedia Jenerali Suleiman B. Gwaya akimkabidhi Cheti kutoka BAMMATA Koplo Hamis Maliki Mpili wa Kanda ya POLISI kwa kujitoa kwake kwa kuanzisha Kituo cha Michezo Mkoani Rukwa ,Hafla hiyo ilifanyika wakati wa Kamati Tendaji ya BAMMATA Ilipokuwa ikiendelea na Kikao cha...
Kamati tendaji na kikao cha kwanza cha Kamati ya Mashindano ya BAMMATA Kilicho fanyika katika Ukumbi wa MGULANI JKT

Kamati tendaji na kikao cha kwanza cha Kamati ya Mashindano ya BAMMATA Kilicho fanyika katika Ukumbi wa MGULANI JKT

Mwenyekiti wa BAMMATA Brigedia Jenerali Suleiman B. Gwaya , Katibu BAMMATA Kanali Martini S.Msumari  na Makamu mwenyekiti  DCF Kennedy C.Komba  pamoja na Sekretarieti wahudhuria kikao cha Kumi na Moja cha Kamati tendaji na kikao cha kwanza cha Kamati ya Mashindano ya BAMMATA Kilicho fanyika...
Kikao cha Kumi (10) cha Kamati Tendaji ya BAMMATA Kilichofanyika katika Ukumbi wa MBWENI JKT Dar es Salaam

Kikao cha Kumi (10) cha Kamati Tendaji ya BAMMATA Kilichofanyika katika Ukumbi wa MBWENI JKT Dar es Salaam

Ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa kumi wa BAMMATA wafanyika ukiogozwa na Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo wa WIZARA YA UTAMADUNI SANAA NA MICHEZO Mhe. Ally Mayay Tembele akiwa na viongozi wa Sekretariet ya Kamati Tendaji ya Baraza la Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA)
Ushiriki wa Timu ya JWTZ Ya Mpira wa Kikapu katika Mashindano ya Majeshi Nchini Ujerumani

Ushiriki wa Timu ya JWTZ Ya Mpira wa Kikapu katika Mashindano ya Majeshi Nchini Ujerumani

Timu ya Mpira wa kikapu ilishirikisha Kiongozi mmoja (Chief of delegation), Mwalimu na wachezaji idadi nane (08) walioshiriki mashindano ya kwanza ya Majeshi ya Dunia kwa Mpira wa kikapu (3 by 3) yaliyofanyika Warendorf nchini Ujerumani. Shindano hilo ni moja kati ya mashindano yanayoratibiwa...
Timu ya Kikapu ya JWTZ yaagwa rasmi kuelekea Ujerumani

Timu ya Kikapu ya JWTZ yaagwa rasmi kuelekea Ujerumani

Timu Teule ya Mpira wa Kikapu  Ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania  imeagwa rasmi leo tarehe 02 Julai 2022  Katika Viwanjani Vya Don Bosco( Oysterbey) Jijini Dar es salaam kuelekea Nchini Ujerumani  katika Mashindano ya Majeshi Duniani ya Wachezaji watatu watatu.
Timu ya Handball toka kanda ya Ngome yawa mabingwa wa kombe la klabu Bingwa muungan May 2022o Cup

Timu ya Handball toka kanda ya Ngome yawa mabingwa wa kombe la klabu Bingwa muungan May 2022o Cup

Timu ya Handball toka kanda ya Ngome yawa mabingwa wa kombe la klabu Bingwa muungano Cup yaliyofanyika visiwani Zanzibar kuanzia tarehe 18- 23 May 22
Timu Handball wanaume Kanda ya Ngome imeshiriki mashindano ya Maadhimisho ya Kumbukizi ya Mauaji ya Kimbari yaliyofanyika nchini Rwanda

Timu Handball wanaume Kanda ya Ngome imeshiriki mashindano ya Maadhimisho ya Kumbukizi ya Mauaji ya Kimbari yaliyofanyika nchini Rwanda

Timu Handball wanaume Kanda ya Ngome imeshiriki mashindano ya Maadhimisho ya Kumbukizi ya Mauaji ya Kimbari yaliyofanyika nchini Rwanda kuanzia tarehe 28 - 29 Mei 2022 na kufanikiwa kumaliza hatua ya Robo fainali .
Timu ya basketball Kanda ya Ngome yachukua ubingwa wa Muungano Cup

Timu ya basketball Kanda ya Ngome yachukua ubingwa wa Muungano Cup

Timu ya basketball Kanda ya Ngome yachukua ubingwa wa Muungano Cup yaliyofanyika Unguja, Visiwani Zanzibar kuanzia tarehe 07 - 08 Mei 2022 pamoja na kutoa kocha bora wa mashindano Askari wa kike mwanadada Lucy Ngodamwilanga
Timu ya Riadha Kanda ya Ngome imeshiriki mashindano ya riadha ya "Tulia Marathon"

Timu ya Riadha Kanda ya Ngome imeshiriki mashindano ya riadha ya "Tulia Marathon"

Timu ya Riadha Kanda ya Ngome imeshiriki mashindano ya riadha ya "Tulia Marathon" yaliyofanyika jijini Mbeya kuanzia tarehe 06 - 07 Mei 2022 na kushika nafasi ya kwanza kwenye mbio zote ikiwemo 1500m, 10km, 32km na 42 km.
Timu ya mpira wa Wavu (Volleyball) kanda ya Ngome yashiriki ligi ya mkoa wa Dar es Salaam

Timu ya mpira wa Wavu (Volleyball) kanda ya Ngome yashiriki ligi ya mkoa wa Dar es Salaam

Timu ya mpira wa Wavu (Volleyball) kanda ya Ngome ikiendelea na ushiriki wa ligi ya mkoa wa Dar es Salaam (DAREVA) mwaka 2022, yanayofanyika jijini Dar es Salaam.
Timu ya Mieleka kanda ya Ngome imefanikiwa kuwa mabingwa wa kombe la Muungano 2022 Jijini DODOMA

Timu ya Mieleka kanda ya Ngome imefanikiwa kuwa mabingwa wa kombe la Muungano 2022 Jijini DODOMA

Timu ya Mieleka kanda ya Ngome imefanikiwa kuwa mabingwa wa kombe la Muungano 2022 yaliyofanyika jijini  Dodoma na kupata Medali saba.  Mgeni Rasmi wakati wa ufungaji alikuwa Mkurugenzi wa Utimamu wa Mwili, Michezo na Utamaduni Jeshini Kanali Martin Msumari.
Timu za ngome handball wanaume na wanawake walishiriki mashindano ya klabu bingwa Taifa mach 2022

Timu za ngome handball wanaume na wanawake walishiriki mashindano ya klabu bingwa Taifa mach 2022

Timu za ngome handball wanaume na wanawake walishiriki mashindano ya klabu bingwa Taifa yaliyofanyika Bunda Mkoani Mara mwezi marchi 2022, timu ya wanaume ilikuwa mabingwa na wanawake washindi wa pili.
Mwanariadha wa Tanzania toka Kanda ya Ngome aibuka mshindi wa tatu Milano Marathon zilizofanyika 03 Aprili 2022

Mwanariadha wa Tanzania toka Kanda ya Ngome aibuka mshindi wa tatu Milano Marathon zilizofanyika 03 Aprili 2022

Mwanariadha wa Tanzania toka Kanda ya Ngome Felix Alphonce Simbu wa kwanza toka kulia alishiriki mbio kubwa za Kimataifa za Milano Marathon zilizofanyika nchini Italia tarehe 03 Aprili 2022 na kuipeperusha bendera ya Tanzania kwa kushika nafasi ya tatu akitanguliwa na Wakenya wawili.