Habari na Matukio

BAMMATA WASHIRIKI KIKAO CHA KAMATI TENDAJI MWANZA 4 AUGUST 2023

Kamati tendaji ya Baraza la Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA) wameendesha  kikao katika Ukumbi wa Lenana Mwanza, kujadili Michezo ya BAMMATA na kuongeza idadi ya Michezo ikiwemo timu za wanawake kwenye mpira wa miguu. pia kuangalia eneo ambalo mashindano hayo ya BAMMATA yanatarajiwa kufanyi... Read More

Washindi wa jumla wa BAMMATA February 2023

Mwenyekiti  wa BAMMATA  Brigedia Jenerali Suleiman Bakari Gwaya (katikati) katika picha ya pamoja na washindi wa jumla mmoj mmoja katika mchezo wa Shabaha katika Michezo ya Majeshi iliyo fanyika katika viwanja vya chuo cha ualimu Mkoani Mtwara February 2023... Read More