Mwenye kiti wa Baraza la Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA) Brigedia Jenerali Saidi Hamis Saidi (wakatikati walioka) akiwa na wajumbe wa kamati ya utendaji na wajumbe wa mkutano mkuu wa BAMMATA uliofanyika Mkoani Kilimanjaro kuanzia tarehe 7-8/12/2023 katika ukumbi wa chuo Cha Uhamiaji TRITA -MOS...
Read More
Habari na Matukio
Kamati tendaji ya Baraza la Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA) wameendesha kikao katika Ukumbi wa Lenana Mwanza, kujadili Michezo ya BAMMATA na kuongeza idadi ya Michezo ikiwemo timu za wanawake kwenye mpira wa miguu. pia kuangalia eneo ambalo mashindano hayo ya BAMMATA yanatarajiwa kufanyi...
Read More
Mwenyekiti wa BAMMATA Brigedia Generali Suleiman Bakari Gwaya akiongoza Kikao Cha Kamati Tendaji Cha BAMMATA katika Ukumbi wa Bwalo la Umwema JKT Mkoani Morogoro, Tarehe 11/5/2023 ...
Read More
Waziri wa Vijana,Utamaduni na Michezo Zanzibar
Mh Tabia Maulid Mwita (wakati) katika Kikosi cha Vallantia
katika Sherehe maalum ya kuwapongeza
Kanda ya SMZ kwa Ushindi mkubwa walioupata katika Mashindano ya Baraza la
Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA) yaliyofanyika Mkoani Mtwara Tar 09 ...
Read More
Katibu
Mkuu wa Baraza la Michezo ya Majeshi
Tanzania(BAMMATA) Kanali Martini Msumari(wa pili toka kulia) akiwa katika picha
ya Pamoja na Washindi wa Tuzo za BMT kutoka Kanda ya ya NGOME (JWTZ) ya
BAMMATA,Kasimu Mbundwike(kushoto)mAlphonce Simbu na Changarawe (kulia) katika
Sherehe ya Utoa...
Read More