Mwenyekiti wa BAMMATA Brigedia Jenerali Suleiman Bakari Gwaya (katikati) katika picha ya pamoja na washindi wa jumla mmoj mmoja katika mchezo wa Shabaha katika Michezo ya Majeshi iliyo fanyika katika viwanja vya chuo cha ualimu Mkoani Mtwara February 2023
Washindi wa jumla mmoja mmoja katika mchezo wa Shabaha katika Michezo ya Majeshi iliyo fanyika katika viwanja vya chuo cha ualimu Mkoani Mtwara