Makamu Mwenyekiti wa BAMMATA DCF Kennedy Komba akimvisha medali ya Bronze mshindi wa tatu wa ujumla kwa wanawake kwenye mchezo wa Riadha Mbiofupi kutoka Kanda ya SMZ katika Michezo ya Majeshi iliyo fanyika katika viwanja vya chuo cha ualimu Mkoani Mtwara February 2023
Makamu Mwenyekiti wa BAMMATA DCF Kennedy Komba akimvisha medali ya Bronze mshindi wa tatu wa ujumla kwa wanawake