Mgeni Rasmi katika Sherehe za Ufungaji wa Michezo ya Majeshi Tanzania Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Mh.Jumanne Sagini akimvalisha Medali ya Heshima kutoka BAMMATA Mwakilishi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Luteni Kanali Juma Shamhuna katika Shere za Ufungaji wa Michezo ya Majeshi Mtwara katika Uwanja wa Nangwanda Sijaona Mkoani Mtwara tarehe 21 February 2023
Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Mh.Jumanne Sagini akimvalisha Medali ya Heshima Mwakilishi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Luteni Kanali Juma Shamhuna
Katibu wa BAMMATA Kanali Martini Msumari ( wa kati mstali wa Mbele) na baadhi ya Wajumbe