Shere za Ufungaji wa Michezo ya Majeshi Mtwara katika Uwanja wa Nangwanda Sijaona Mkoani Mtwara tarehe 21 February 2023

Mgeni Rasmi katika Sherehe za Ufungaji wa Michezo ya Majeshi Tanzania Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Mh.Jumanne Sagini akimvalisha Medali ya Heshima kutoka BAMMATA Mwakilishi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Luteni Kanali Juma Shamhuna katika Shere za Ufungaji wa Michezo ya Majeshi Mtwara katika  Uwanja wa Nangwanda Sijaona Mkoani Mtwara tarehe 21 February 2023

Matukio katika picha

Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Mh.Jumanne Sagini akimvalisha Medali ya Heshima Mwakilishi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Luteni Kanali Juma Shamhuna

Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Mh.Jumanne Sagini akimvalisha Medali ya Heshima Mwakilishi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Luteni Kanali Juma Shamhuna

Katibu wa BAMMATA Kanali Martini Msumari ( wa kati mstali wa Mbele) na baadhi ya Wajumbe

Katibu wa BAMMATA Kanali Martini Msumari ( wa kati mstali wa Mbele) na baadhi ya Wajumbe