
Mgeni rasmi katika Ufunguzi wa Michezo ya Baraza la Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA) Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Zanzibar Mh. Tabia Maulid Tabia(Mbunge), Mh. Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali Ahmed Abbas Ahmed na Mwenyekiti wa BAMMATA Brigedia Jenerali Suleiman Gwaya,wakiwa katika sherehe za Ufunguzi wa Michezo ya BAMMATA Tarehe 9/2/2023 Mkoani Mtwara. Michezo hiyo ikijumuisha kanda zote za BAMMATA.
Wawakilishi wa Wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama Tanzania na Wajumbe wa Kamati ya Maandalizi ya Michezo ya Majeshi Tanzania BAMMATA
Wananchi wa Mkoa wa Mtawara wakiwa katika Uwanja wa Nangwanda Sijaona wakishuhudia Uunguzi wa Michezo ya Majeshi ya Tanzania ambayo mwaka huu yanafanyika Mkoani Mtwara
Majeshi ya Ulinzi na Usalama wa Tanzania kutoka Vyombo vya Ulinzi na Usalama Tanzania wakiwa katika Gwaride la Pamoja maalum kwa Ufunguzi wa Michezo ya Majeshi Tanzania
Timu ya kanda ya JKT na SMZ zikipambana katika moja ya michezo ya majeshi inayoendelea Mkoani Mtwara February 2023
Kikosi cha timu ya Kanda ya SMZ ambao ni mabingwa watetezi kwa upande wa mchezo wa mpila wa Miguu wakijiandaa na mchezo wa Ufunguzi kati yao na Polisi
Wanamichezo BAMMATA