Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Zanzibar Mh. Tabia Maulid Tabia ashiriki sherehe za Ufunguzi wa Michezo ya BAMMATA
-(katikati),Mh.-Mkuu-wa-Mkoa-wa-Mtwara-Kanali-Ahmed-Abbas-Ahmed-(Kushoto).jpg)
Mgeni rasmi katika Ufunguzi wa Michezo ya Baraza la Michezo ya Majeshi
Tanzania (BAMMATA) Waziri wa
Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Zanzibar Mh. Tabia Maulid Tabia(Mbunge), Mh.
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali Ahmed Abbas Ahmed na Mwenyekiti wa
BAMMATA Brigedia Jenerali Suleiman Gwaya,wakiwa katika sherehe za Ufunguzi wa
Michezo ya BAMMATA Tarehe 9/2/2023 Mkoani Mtwara. Michezo hiyo ikijumuisha kanda zote za BAMMATA.