Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Zanzibar Mh. Tabia Maulid Tabia ashiriki sherehe za Ufunguzi wa Michezo ya BAMMATA

Mgeni rasmi katika Ufunguzi wa  Michezo ya Baraza la Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA)  Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Zanzibar Mh. Tabia Maulid Tabia(Mbunge), Mh. Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali Ahmed Abbas Ahmed  na Mwenyekiti wa BAMMATA Brigedia Jenerali Suleiman Gwaya,wakiwa katika sherehe za Ufunguzi wa Michezo ya BAMMATA Tarehe 9/2/2023 Mkoani Mtwara. Michezo hiyo ikijumuisha kanda zote za BAMMATA.

Matukio katika picha

Wawakilishi wa Wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama Tanzania na Wajumbe wa Kamati ya Maandalizi ya Michezo ya Majeshi Tanzania BAMMATA

Wawakilishi wa Wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama Tanzania na Wajumbe wa Kamati ya Maandalizi ya Michezo ya Majeshi Tanzania BAMMATA

Wananchi wa Mkoa wa Mtawara wakiwa katika  Uwanja wa Nangwanda Sijaona wakishuhudia Uunguzi wa Michezo ya Majeshi ya Tanzania ambayo mwaka huu yanafanyika Mkoani Mtwara

Wananchi wa Mkoa wa Mtawara wakiwa katika Uwanja wa Nangwanda Sijaona wakishuhudia Uunguzi wa Michezo ya Majeshi ya Tanzania ambayo mwaka huu yanafanyika Mkoani Mtwara

Majeshi ya Ulinzi na Usalama wa Tanzania kutoka Vyombo vya Ulinzi na Usalama Tanzania wakiwa katika Gwaride la Pamoja maalum kwa Ufunguzi wa Michezo ya Majeshi Tanzania

Majeshi ya Ulinzi na Usalama wa Tanzania kutoka Vyombo vya Ulinzi na Usalama Tanzania wakiwa katika Gwaride la Pamoja maalum kwa Ufunguzi wa Michezo ya Majeshi Tanzania

Timu ya kanda ya JKT na SMZ zikipambana katika moja ya michezo ya majeshi inayoendelea Mkoani Mtwara February 2023

Timu ya kanda ya JKT na SMZ zikipambana katika moja ya michezo ya majeshi inayoendelea Mkoani Mtwara February 2023

Kikosi cha timu ya Kanda ya SMZ ambao ni mabingwa watetezi kwa upande wa mchezo wa mpila wa Miguu wakijiandaa na mchezo wa Ufunguzi kati yao na Polisi

Kikosi cha timu ya Kanda ya SMZ ambao ni mabingwa watetezi kwa upande wa mchezo wa mpila wa Miguu wakijiandaa na mchezo wa Ufunguzi kati yao na Polisi

Wanamichezo BAMMATA

Wanamichezo BAMMATA