BAMMATA yaendesha mashindano ya ulengaji shabaha

Washiriki wa ulengaji shabaha

Washiriki pamoja na wasimamizi wa mashindano ya Ulengaji Shabaha wakiwa katika Harakati za Mashindano ya  Majeshi Tanzania BAMMATA yaliyofanyika february 2019 katika Viwanja vya Kunduchi Jijini Dar es Salaam.

Mchezo huo wa ulengaji ulifanyika ili kuimarisha uwezo wa kulenga shabaha miongoni mwa wajumbe wa BAMMTA

Matukio katika picha

Walengaji wa shabaha

Walengaji wa shabaha

Washiriki wa ulengaji shabaha

Washiriki wa ulengaji shabaha

Picha ya pamoja ya washiriki wa mchezo wa ulengaji shabaha

Picha ya pamoja ya washiriki wa mchezo wa ulengaji shabaha