
Mgeni Rasmi katika Sherehe za Ufungaji wa Michezo ya Majeshi Tanzania Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Mh.Jumanne Sagini (kushoto) akiwa katika sherehe za Ufungaji wa Michezo ya Majeshi Tanzania pamoja na Muwakilishi wa Mwenyekiti wa Baraza la Vyombo vya Ulinzi na Usalama Tanzania (CDF) Luteni Jenerali Salim Haji Othman (kulia) na Mwenyekiti wa Baraza la Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA) Brigedia Jenerali Suleiman Bakari Gwaya(katikati) wakiangalia Mechi ya Mpira wa Miguu ya Ufungaji kati ya SMZ na UHAMIAJI katika Uwanja wa Nangwanda Sijaona Mkoani Mtwara tarehe 21 February 2023
Mgeni rasmi katika sherehe ya Ufungaji Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya ndani Mh.Jumanne Sagini 21 feb, 2023
Kamati ya Habari na Matukio, mwalimu wa Riadha Mteule Daraja la pili Mungereza pamoja na wanariadha wa kimataifa walipo tembelea Studio za AHMADIYYA RADIO Mkoani Mtwara
Mwenyekiti wa BAMMATA Brigedia Jenerali Suleiman Bakari Gwaya(katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Kamati Tendaji ya maandalizi ya michezo ya majeshi Mkoani Mtwara
Timu ya Mpira wa Kikapu toka Kanda ya POLISI