Waziri wa Vijana,Utamaduni na Michezo Zanzibar Mh Tabia Maulid Mwita (wakati) katika Kikosi cha Vallantia katika Sherehe maalum ya kuwapongeza Kanda ya SMZ kwa Ushindi mkubwa walioupata katika Mashindano ya Baraza la Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA) yaliyofanyika Mkoani Mtwara Tar 09 -21 February 2023.
Waziri wa Vijana,Utamaduni na Michezo Zanzibar Mh Tabia Maulid Mwita akimkabidhi Cheti cha Kumtambua Lt Commd Ally Sheha kama Mshiriki wa muda mrefu wa BAMMATA
Waziri wa Vijana,Utamaduni na Michezo Zanzibar Mh Tabia Maulid Mwita (wakati) akiwasili katika Kikosi cha Vallantia katika Sherehe maalum ya kuwapongeza Kanda ya SMZ
Waziri wa Vijana,Utamaduni na Michezo Zanzibar Mh Tabia Maulid Mwita (wakati) akiwa katika picha ya pamoja na wakuu wa vikosi maalum vya SMZ