Habari na Matukio

Mwenyekiti wa BAMMATA amezitaka kanda za BAMMATA kuongeza timu katika michezo ya majeshi inayotarajiwa kufanyika jijini Mbeya mwaka huu

Mwenyekiti wa BAMMATA amezitaka kanda za BAMMATA kuongeza timu katika michezo ya majeshi inayotarajiwa kufanyika jijini Mbeya mwaka huu

Mwenyekiti wa BAMMATA Brig Gen Suleiman Gwaya ametoa wito kwa kanda mbalimbali zinazounda BAMMATA kuongeza timu za Ngumi, Mchezo wa Vishale  na Judo katika michezo ya majeshi inayotarajiwa kufanyika jijini Mbeya baadaye mwaka huu.
Ushindi wa kihistoria wa Filbert Bayi.

Ushindi wa kihistoria wa Filbert Bayi.

Mwanariadha wa zamani wa Tanzania wa mbio za kati ambaye alishiriki katika miaka ya 1970 hadi 1980. Aliweka rekodi za dunia za mita 1500 mwaka 1974 na maili (8 year mile record) mwaka 1975.
Mwanariadha wa Jeshi la Magereza aliwakilisha Taifa Mashindano ya Vijana Italia 2004

Mwanariadha wa Jeshi la Magereza aliwakilisha Taifa Mashindano ya Vijana Italia 2004

Andrew Sambu ni mwanariadha mwingine ambaye aliliwakilisha jeshi vizuri katika mashindano mbalimbali ndani na nje ya nchi kwa mfano 1991 kwenye mashindano ya Dunia ya vijana ya mita 3000 nchini Italia.
Mwanariadha wa mbio ndefu wa Jeshi la Magereza John Burra

Mwanariadha wa mbio ndefu wa Jeshi la Magereza John Burra

Mwanariadha mwingine wa mbio ndefu wa jeshi la Magereza anayeitwa John Burra ambaye ameliwakilisha Taifa katika mashindano mbalimbali.
Mwanariadha wa mbio za kati Lwiza John, akiwakilisha Jeshi la Magereza nje na ndani ya Nchi

Mwanariadha wa mbio za kati Lwiza John, akiwakilisha Jeshi la Magereza nje na ndani ya Nchi

MWANARIADHA kutoka Jeshi la Magereza ambae alikuwa timu ya riadha ya taifa katika mbio fupi na za kati (Short and Middle distance) Lwiza John ambaye pia alishiriki mashindano mbalimbali ya kimataifa
Jacob mabondo jkt vs Haji Ally matumla polisi DDC kaliakoo Dsm klabu Bingwa ya taifa 1990

Jacob mabondo jkt vs Haji Ally matumla polisi DDC kaliakoo Dsm klabu Bingwa ya taifa 1990

Ulikuwa ni mpambano wa maswumbwidhidi ya Jacob mabondo JKT vs Haji Ally matumla polisi DDC kariakoo Dar es salaam klabu Bingwa ya taifa 1990
Timu ya JKT mchezo wa volleyball wanawake michezo ya Majeshi 2021 dodoma

Timu ya JKT mchezo wa volleyball wanawake michezo ya Majeshi 2021 dodoma

Timu ya Kanda ya JKT mchezo wa volleyball wanawake waibuka mabingwa wa michezo ya Majeshi (BAMMATA) 2021 Jijini dodoma, wapewa kombe
Timu ya JKT wanawake watwaa ubingwa  wa Volleyball kwa upande wa wanawake

Timu ya JKT wanawake watwaa ubingwa wa Volleyball kwa upande wa wanawake

Timu ya JKT mchezo wa Volleyball wanawake watwaa ubingwa katika michuano maazimisho ya Mapinduzi Cup 2021 Zanzibar
Timu ya Kanda JKT mabingwa wa jumla mashindano ya volleyball

Timu ya Kanda JKT mabingwa wa jumla mashindano ya volleyball

Timu ya Kanda JKT mabingwa wa jumla mashindano ya volleyball yaliyofanyika jijini Mbeya kwa mwaka 2021
Timu ya JKT Tanzania ikiwa katika uwanja wa Majaliwa uliopo katika Mkoa wa Lindi dhidi ya Namungo FC

Timu ya JKT Tanzania ikiwa katika uwanja wa Majaliwa uliopo katika Mkoa wa Lindi dhidi ya Namungo FC

Kikosi cha Timu ya JKT Tanzania yavaana na Namungo FC katika uwanja wa Majariwa msimu wa 2020/2021 ikiwa ni muendelezo wa michuano ya ligi kuu soka Tanzania Bara. Katika mchezo huo timu zote zilitoshana nguvu baada ya kutoka sare ya goli 2-2
JKT Tanzania katika michuano ligi kuu Tanzania bara dhidi ya timu ya Yanga

JKT Tanzania katika michuano ligi kuu Tanzania bara dhidi ya timu ya Yanga

Kikosi cha timu ya JKT Tanzania yavaana na timu ya Yanga katika mfululizo wa michuano ya ligi kuu soka Tanzania bara katika uwanja wa Benjamini mkapa jijini Dsm msimu wa 2019/2020.
Magereza washinda Mchezo wa Judo vilabu vya majeshi East Africa

Magereza washinda Mchezo wa Judo vilabu vya majeshi East Africa

Timu ya Judo ikiwa na vikombe vya mshindi wa kwanza wa mashindano ya Vilabu vya majeshi ya East Africa yaliyofanyika Moshi Tanzania December 6-12,2021 walioshika vikombe ni Afande RPO Mkoa wa Kilimanjaro na Afande Mkuu wa Gereza Karanga Moshi
Mwanariadha wa Jeshi la Magereza katika Mchezo ya Riadha chini Finland mwaka 2005

Mwanariadha wa Jeshi la Magereza katika Mchezo ya Riadha chini Finland mwaka 2005

Mwanariadha wa jeshi la Magereza Christopher Isegwe aliliwakilisha Taifa mwaka, 2005 ELSINKI, Finland katika mashindano ya Dunia ya riadha na kushika nafasi ya pili katika mbio za Marathon na kupata zawadi medali ya fedha tasrimu.
Mashindano ya Majeshi (CISM) Wuhan China 2019

Mashindano ya Majeshi (CISM) Wuhan China 2019

JWTZ yashiriki michezo ya CISM ikijumuisha  michezo ya mieleka, riadha na ngumi Wuhan China mwaka 2020.
Timu ya Mpira wa Wavu ya Brigedi ya NYUKI (101KV) Bingwa wa Mpira Wavu (Volley Ball) 2020

Timu ya Mpira wa Wavu ya Brigedi ya NYUKI (101KV) Bingwa wa Mpira Wavu (Volley Ball) 2020

Timu teule ya Mpira wa Wavu ya Brigedi ya NYUKI (101KV),katika mashindano hayo yalichezwa mwezi wa Apr 2020, Mgeni rasmi alikua Mkuu wa Wilaya ya Wete Mheshimiwa ALI ABEID, Pamoja na Sheha wa Shehia ya Majenzi. Pia katika mashindano hayo timu ya Nyuki ilifanikiwa...