Habari na Matukio

Washindi wa jumla wa BAMMATA February 2023

Mwenyekiti  wa BAMMATA  Brigedia Jenerali Suleiman Bakari Gwaya (katikati) katika picha ya pamoja na washindi wa jumla mmoj mmoja katika mchezo wa Shabaha katika Michezo ya Majeshi iliyo fanyika katika viwanja vya chuo cha ualimu Mkoani Mtwara February 2023... Read More

BAMMATA MEDIA TOUR

Baraza la Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA) kupitia  Mawasiliano na Matukio Inajulisha kwamba Utaratibu wa Kufanya MEDIA TOUR katika Vipindi vya TV& Radio unaendelea kufanyika katika Vyombo vya Habari Mbalimbali Mkoani Dar es Salaam.Ifuatayo ni Ratiba ya MEDIA TOUR1.Tarehe 25 Jan Radio ... Read More