Mgeni
Rasmi katika Sherehe za Ufungaji wa Michezo ya Majeshi Tanzania Naibu Waziri Wizara
ya Mambo ya Ndani ya Nchi Mh.Jumanne Sagini (kushoto) akiwa katika sherehe za
Ufungaji wa Michezo ya Majeshi Tanzania pamoja na Muwakilishi wa Mwenyekiti wa Baraza
la Vyombo vya Ulinzi na Usalama Tanzania (...
Read More
Habari na Matukio
Mgeni rasmi katika Ufunguzi wa Michezo ya Baraza la Michezo ya Majeshi
Tanzania (BAMMATA) Waziri wa
Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Zanzibar Mh. Tabia Maulid Tabia(Mbunge), Mh.
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali Ahmed Abbas Ahmed na Mwenyekiti wa
BAMMATA Brigedia Jenerali Suleima...
Read More
Baraza la Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA) kupitia Mawasiliano na Matukio Inajulisha kwamba Utaratibu wa Kufanya MEDIA TOUR katika Vipindi vya TV& Radio unaendelea kufanyika katika Vyombo vya Habari Mbalimbali Mkoani Dar es Salaam.Ifuatayo ni Ratiba ya MEDIA TOUR1.Tarehe 25 Jan Radio ...
Read More
Mwenyekiti wa BAMMATA Brigedia Jenerali Suleiman B. Gwaya akimkabidhi Cheti kutoka BAMMATA Koplo Hamis Maliki Mpili wa Kanda ya POLISI kwa kujitoa kwake kwa kuanzisha Kituo cha Michezo Mkoani Rukwa ,Hafla hiyo ilifanyika wakati wa Kamati Tendaji ya BAMMATA Ilipokuwa ikiendelea na Kikao c...
Read More
Mwenyekiti wa BAMMATA Brigedia Jenerali Suleiman B.
Gwaya , Katibu BAMMATA Kanali Martini S.Msumari na
Makamu mwenyekiti DCF Kennedy
C.Komba pamoja na Sekretarieti wahudhuria kikao cha
Kumi na Moja cha Kamati tendaji na kikao cha kwanza cha Kamati ya Mashindano ya
BAMMATA Kili...
Read More