Habari na Matukio

BAMMATA yaendesha mashindano ya ulengaji shabaha

Washiriki pamoja na wasimamizi wa mashindano ya Ulengaji Shabaha wakiwa katika Harakati za Mashindano ya  Majeshi Tanzania BAMMATA yaliyofanyika february 2019 katika Viwanja vya Kunduchi Jijini Dar es Salaam.Mchezo huo wa ulengaji ulifanyika ili kuimarisha uwezo wa kulenga shabaha miongoni mwa ... Read More

JWTZ yashiriki michezo ya majeshi -Nairobi Kenya 2019

JWTZ lilishiriki katika Mzunguko wa 12 wa Michezo ya Majeshi ya Jumuiya ya Afrika Mashariki “EAC” iliyofanyikia Nairobi, nchini Kenya kuanzia tarehe 11 – 24 Aug 19. Pamoja na Tanzania washiriki wengine ni kutoka Burundi, Kenya, Rwanda, Sudan Kusini na Uganda. Michezo iliyoshirikishwa ni Mpira ... Read More