RAISI WA TBF AFANYA KIKAO CHA KWANZA MKOANI DODOMA
Shirikisho la Mchezo wa kikapu Tanzania TANZANIA BASKETBALL FEDERATION (TBF) limefanya kikao cha Kwanza mwaka huu 2026 baada ya uchaguzi uliofanyika mwanzoni mwaka huu kuchagua viongozi wapya. Kikao hicho kiliongozwa na Rais wa TBF, Hasheem Thabeet, ambaye sasa anaongoza shirikisho hilo akiwa na dhamira...