Mwenyekiti wa Kamati Ndogo ya Uchumi Mipango na Fedha ya Baraza la Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA) DCF Kennedy Komba ameongoza kikao tarehe 10 March 2025 Kwenye ukumbi wa Corridor Spring hotel jijini Arusha...
Read More
Habari na Matukio
Wajumbe wa Kamati Ndogo ya BAMMATA ya mipango ,uchumi na fedha wakiwa kwenye mkutano kujadili mambo mbali mbali ya kichumi na fedha uliofanyikableo tarehe 10 March 2025 kwenye ukumbi wa Corridor Spring hotel jijini Arusha...
Read More
Jeshi la Ulinzi wa Wananchi wa Tanzania (JWTZ) lashiriki mashindano ya " 2nd Military All African Games" yanayofanyika katika jiji kuu la Abuja Nchini Nigeria,katika mashindano hayo
JWTZ kushiriki jumla ya michezo mitatu ambayo ni GOLF, BOXING & MARATHON, mashindano
...
Read More
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi amteua Kanali Davidi Luoga kuwa Katibu Mkuu wa Baraza la Michezo ya
Majeshi Tanzania (BAMMATA) ambaye akichukua nafasi ya Kanali Martin Msumari ambaye amepangiwa
majukumu mengine ndani ya JWTZ....
Read More
Kanda
ya Polisi yashiriki vikao vya EAPCCO GAMES katika jiji la Addis Ababa
Nchini Ethiopia kwa ajili ya kukagua miundombinu ya michezo hiyo ambayo
hujumisha nchi mbalimbali ikiwemo Tanzania,Burundi,Kenya,Rwanda,Sudan na
Uganda,kwa upande wa Tanzania iliwakilishwa na ACP Nkuba na A/Insp Saddy
M...
Read More