Habari na Matukio

Kanali Davidi Luoga kuwa Katibu Mkuu wa BAMMATA

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi amteua Kanali Davidi Luoga  kuwa Katibu Mkuu wa Baraza la Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA) ambaye akichukua nafasi ya Kanali Martin Msumari ambaye amepangiwa majukumu mengine ndani ya JWTZ.... Read More

Kanda ya Polisi yashiriki vikao vya EAPCCO GAMES

Kanda ya Polisi yashiriki vikao vya EAPCCO GAMES katika jiji la Addis Ababa Nchini Ethiopia kwa ajili ya kukagua miundombinu ya michezo hiyo ambayo hujumisha nchi mbalimbali ikiwemo Tanzania,Burundi,Kenya,Rwanda,Sudan na Uganda,kwa upande wa Tanzania iliwakilishwa na ACP Nkuba na A/Insp Saddy M... Read More