Mwenyekiti wa Kamati Ndogo ya Uchumi Mipango na Fedha ya BAMMATA Aendesha Kikao.

Mwenyekiti wa Kamati Ndogo ya Uchumi Mipango na Fedha ya Baraza la Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA) DCF Kennedy Komba ameongoza kikao  tarehe 10 March 2025 Kwenye ukumbi wa Corridor Spring hotel jijini Arusha

Matukio katika picha

Mwenyekiti wa Kamati Ndogo ya Uchumi Mipango na Fedha ya Baraza la Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA) DCF Kennedy Komba akiongoza kikao

Mwenyekiti wa Kamati Ndogo ya Uchumi Mipango na Fedha ya Baraza la Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA) DCF Kennedy Komba akiongoza kikao

Wajumbe wa kamati ndogo ya uchumi mipango na fedha wakiendelea na kikao

Wajumbe wa kamati ndogo ya uchumi mipango na fedha wakiendelea na kikao