Kanda
ya Polisi yashiriki vikao vya EAPCCO GAMES katika jiji la Addis Ababa
Nchini Ethiopia kwa ajili ya kukagua miundombinu ya michezo hiyo ambayo
hujumisha nchi mbalimbali ikiwemo Tanzania,Burundi,Kenya,Rwanda,Sudan na
Uganda,kwa upande wa Tanzania iliwakilishwa na ACP Nkuba na A/Insp Saddy
M...
Read More
Habari na Matukio
Mwenyekiti
wa BAMMATA Brig Gen Said Hamis Saidi akiwakabidhi Tuzo Kanali Martin
Msumari na ACP Maltilda Mlawa kwa kutumikia vyema Baraza katika nafasi zao kwa
kipindi chote cha Zaidi ya Miaka minne kama Katibu Mkuu wa BAMMATA na
Mwenyekiti wa Kanda ya Magereza, baada ya kupangiwa majukumu mengin...
Read More
Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Mh.Hemed
Suleiman Abdulla Mgeni Rasmi
Ufunguzi wa Michezo ya Majeshi Tanzania
(BAMMATA) itakayofanyika katika Uwanja wa Jamhuri Mkoani
MOROGORO, inayofanyika kuanzia Tarehe 06
September 2024 na inatarajiwa kuchukua siku Kumi.Mk...
Read More
Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ),Luteni Jenerali Salum Haji Othman amekutana na kufanya mazungumzo na Ujumbe wa Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani (CISM), ukiongozwa na Katibu Mkuu wa Baraza hilo,Navy Captain Robert Recchie Upanga, Jijini Dar Es Salaam .K...
Read More
Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Mjini Mh.Beno Malisa ashiriki na Viongozi na Wajumbe wa Kamati tendaji ya BAMMATA TAIFA katika Ufunguzi wa Vikao vinavyoendelea Mkoani Mbeya ambapo Mh.Malisa Alikuwa akimuwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Mbeya ,Tarehe 07/...
Read More