Habari na Matukio

Kanda ya Polisi yashiriki vikao vya EAPCCO GAMES

Kanda ya Polisi yashiriki vikao vya EAPCCO GAMES katika jiji la Addis Ababa Nchini Ethiopia kwa ajili ya kukagua miundombinu ya michezo hiyo ambayo hujumisha nchi mbalimbali ikiwemo Tanzania,Burundi,Kenya,Rwanda,Sudan na Uganda,kwa upande wa Tanzania iliwakilishwa na ACP Nkuba na A/Insp Saddy M... Read More