Ufunguzi wa Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA) inayofanyika katika Uwanja wa Jamhuri Mkoani MOROGORO
Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Mh.Hemed Suleiman Abdulla Mgeni Rasmi Ufunguzi wa Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA) itakayofanyika katika Uwanja wa Jamhuri Mkoani MOROGORO, inayofanyika kuanzia Tarehe 06 September 2024 na inatarajiwa kuchukua siku Kumi.