Habari na Matukio

Ufunguzi wa Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA) inayofanyika katika Uwanja wa Jamhuri Mkoani MOROGORO

Ufunguzi wa Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA) inayofanyika katika Uwanja wa Jamhuri Mkoani MOROGORO

Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Mh.Hemed Suleiman Abdulla  Mgeni  Rasmi Ufunguzi wa Michezo ya Majeshi  Tanzania (BAMMATA) itakayofanyika katika Uwanja wa Jamhuri  Mkoani  MOROGORO, inayofanyika  kuanzia Tarehe 06 September 2024 na inatarajiwa kuchukua siku Kumi.
Katibu Mkuu wa Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani (CISM) akutana na Mnadhimu Mkuu wa JWTZ

Katibu Mkuu wa Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani (CISM) akutana na Mnadhimu Mkuu wa JWTZ

Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ),Luteni Jenerali Salum Haji Othman amekutana na kufanya mazungumzo na Ujumbe wa Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani (CISM), ukiongozwa na Katibu Mkuu wa Baraza hilo,Navy Captain Robert Recchie  Upanga,  Jijini Dar Es Salaam...
Viongozi na Wajumbe wa Kamati tendaji ya BAMMATA wendesha Vikao Mkoani Mbeya

Viongozi na Wajumbe wa Kamati tendaji ya BAMMATA wendesha Vikao Mkoani Mbeya

Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Mjini Mh.Beno Malisa ashiriki na Viongozi na Wajumbe wa Kamati tendaji ya BAMMATA TAIFA katika Ufunguzi wa Vikao vinavyoendelea Mkoani Mbeya ambapo Mh.Malisa Alikuwa akimuwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Mbeya ,Tarehe 07/03/2024.
Kamati ya utendaji na wajumbe wa mkutano mkuu wa BAMMATA

Kamati ya utendaji na wajumbe wa mkutano mkuu wa BAMMATA

Mwenye kiti wa Baraza la Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA) Brigedia Jenerali Saidi Hamis Saidi akiwa na wajumbe wa kamati ya utendaji na wajumbe wa mkutano mkuu wa BAMMATA uliofanyika Mkoani Kilimanjaro kuanzia tarehe 7-8/12/2023 katika ukumbi wa chuo Cha Uhamiaji TRITA -MOSHI
BAMMATA washiriki kikao cha kamati tendaji tarehe 4 augusti 2023

BAMMATA washiriki kikao cha kamati tendaji tarehe 4 augusti 2023

Kamati tendaji ya Baraza la Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA) wameendesha kikao katika Ukumbi wa Lenana Mwanza, kujadili Michezo ya BAMMATA na kuongeza idadi ya Michezo ikiwemo timu za wanawake kwenye mpira wa miguu.
Mwenyekiti wa BAMMATA Brigedia Generali Suleiman Bakari Gwaya akiongoza Kikao Cha Kamati Tendaji

Mwenyekiti wa BAMMATA Brigedia Generali Suleiman Bakari Gwaya akiongoza Kikao Cha Kamati Tendaji

Mwenyekiti wa BAMMATA Brigedia Generali Suleiman Bakari Gwaya akiongoza Kikao Cha Kamati Tendaji Cha BAMMATA katika Ukumbi wa Bwalo la Umwema JKT Mkoani Morogoro, Tarehe 11/5/2023
Waziri wa Vijana,Utamaduni na Michezo Zanzibar Mh Tabia Maulid Mwita akiwana katika Sherehe maalum ya Kuwapongeza Wana michezo wa Kanda ya SMZ

Waziri wa Vijana,Utamaduni na Michezo Zanzibar Mh Tabia Maulid Mwita akiwana katika Sherehe maalum ya Kuwapongeza Wana michezo wa Kanda ya SMZ

Waziri wa Vijana,Utamaduni na Michezo Zanzibar Mh Tabia Maulid Mwita (wakati) akiwa katika picha ya pamoja na wakuu wa vikosi maalum vya SMZ katika Sherehe maalum ya Kuwapongeza Wana michezo wa Kanda ya SMZ zilizo fanyika Zanzibar katika kambi ya KVZ, baada ya Ushindi...
Waziri wa Vijana,Utamaduni na Michezo Zanzibar Mh Tabia Maulid Mwita akiwa katika sherehe ya kuwapongeza Kanda ya SMZ kwa Ushindi

Waziri wa Vijana,Utamaduni na Michezo Zanzibar Mh Tabia Maulid Mwita akiwa katika sherehe ya kuwapongeza Kanda ya SMZ kwa Ushindi

Waziri wa Vijana,Utamaduni na Michezo Zanzibar Mh Tabia Maulid Mwita (wakati) katika Kikosi cha Vallantia katika Sherehe maalum ya kuwapongeza Kanda ya SMZ kwa Ushindi mkubwa walioupata katika Mashindano ya Baraza la Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA) yaliyofanyika Mkoani Mtwara Tar 09 -21 February...
Mh Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Dk Pindi Chana akabidhi Tuzo za Mwanamichezo Bora Tanzania kwa mwaka 2022

Mh Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Dk Pindi Chana akabidhi Tuzo za Mwanamichezo Bora Tanzania kwa mwaka 2022

Katibu Mkuu wa Baraza la Michezo ya Majeshi Tanzania(BAMMATA) Kanali Martini Msumari(wa pili toka kulia) akiwa katika picha ya Pamoja na Washindi wa Tuzo za BMT kutoka Kanda ya ya NGOME (JWTZ) ya BAMMATA,Kasimu Mbundwike(kushoto)mAlphonce Simbu na Changarawe (kulia) katika Sherehe ya Utoaji wa...
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali Abbas akifungua mchezo wa mpira wa Pete Kati ya Timu toka kanda ya ZIMAMOTO na Timu toka Kanda ya MAGEREZA

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali Abbas akifungua mchezo wa mpira wa Pete Kati ya Timu toka kanda ya ZIMAMOTO na Timu toka Kanda ya MAGEREZA

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali Abbas akifungua mchezo wa mpira wa Pete Kati ya Timu toka kanda ya ZIMAMOTO na Timu toka Kanda ya MAGEREZA alipo tembelea viwanja vya Chuo cha Ualimu Mtwara ambapo Michezo ya Majeshi lipokuwa ikifanyika Mkoani Mtwara February 2023
Washindi wa jumla wa BAMMATA February 2023

Washindi wa jumla wa BAMMATA February 2023

Mwenyekiti wa BAMMATA Brigedia Jenerali Suleiman Bakari Gwaya (katikati) katika picha ya pamoja na washindi wa jumla mmoj mmoja katika mchezo wa Shabaha katika Michezo ya Majeshi iliyo fanyika katika viwanja vya chuo cha ualimu Mkoani Mtwara February 2023
Medali ya Bronze mshindi wa tatu wa ujumla kwa wanawake kwenye mchezo wa Riadha Mbiofupi kutoka Kanda ya SMZ

Medali ya Bronze mshindi wa tatu wa ujumla kwa wanawake kwenye mchezo wa Riadha Mbiofupi kutoka Kanda ya SMZ

Makamu Mwenyekiti wa BAMMATA DCF Kennedy Komba akimvisha medali ya Bronze mshindi wa tatu wa ujumla kwa wanawake kwenye mchezo wa Riadha Mbiofupi kutoka Kanda ya SMZ katika Michezo ya Majeshi iliyo fanyika katika viwanja vya chuo cha ualimu Mkoani Mtwara February 2023
Kanda ya SMZ katika Mashindano ya BAMMATA Mkoani Mtwara

Kanda ya SMZ katika Mashindano ya BAMMATA Mkoani Mtwara

Baadhi ya Wanamichezo toka Kanda ya SMZ wakionyesha Viongozi wa Baraza la Wawakilishi Vikombe walivyoshinda katika Michezo ya Majeshi (BAMMATA) iliyofanyika Mkoani Mtwara tarehe 09- 21 February 2023
Shere za Ufungaji wa Michezo ya Majeshi Mtwara katika Uwanja wa Nangwanda Sijaona Mkoani Mtwara tarehe 21 February 2023

Shere za Ufungaji wa Michezo ya Majeshi Mtwara katika Uwanja wa Nangwanda Sijaona Mkoani Mtwara tarehe 21 February 2023

Mgeni Rasmi katika Sherehe za Ufungaji wa Michezo ya Majeshi Tanzania Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Mh.Jumanne Sagini akimvalisha Medali ya Heshima kutoka BAMMATA Mwakilishi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Luteni Kanali Juma Shamhuna katika Shere za Ufungaji wa Michezo...
Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani Mh.Jumanne Sagini ahudhuria katika sherehe ya Ufungaji wa Michezo ya Majeshi

Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani Mh.Jumanne Sagini ahudhuria katika sherehe ya Ufungaji wa Michezo ya Majeshi

Mgeni Rasmi katika Sherehe za Ufungaji wa Michezo ya Majeshi Tanzania Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Mh.Jumanne Sagini akiwa katika sherehe za Ufungaji wa Michezo ya Majeshi Tanzania pamoja na Muwakilishi wa Mwenyekiti wa Baraza la Vyombo vya Ulinzi na...