Viongozi na Wajumbe wa Kamati tendaji ya BAMMATA wendesha Vikao Mkoani Mbeya

Mkuu  wa Wilaya ya Mbeya Mjini  Mh.Beno Malisa ashiriki  na Viongozi na Wajumbe wa Kamati tendaji  ya BAMMATA TAIFA  katika Ufunguzi wa Vikao vinavyoendelea Mkoani Mbeya  ambapo Mh.Malisa Alikuwa akimuwakilisha  Mkuu wa Mkoa wa Mbeya ,Tarehe 07/03/2024.

Matukio katika picha

Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya akisalimina na wajumbe

Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya akisalimina na wajumbe

Wajumbe BAMMATA

Wajumbe BAMMATA