Kanda ya Polisi yashiriki vikao vya EAPCCO GAMES

Kanda ya Polisi yashiriki vikao vya EAPCCO GAMES katika jiji la Addis Ababa Nchini Ethiopia kwa ajili ya kukagua miundombinu ya michezo hiyo ambayo hujumisha nchi mbalimbali ikiwemo Tanzania,Burundi,Kenya,Rwanda,Sudan na Uganda,kwa upande wa Tanzania iliwakilishwa na ACP Nkuba na A/Insp Saddy Mrope,ambapo mashindano hayo yanakadiliwa kuanza kufanyika tarehe April 27 hadi Mei 04 2025,Vikao hivyo vilianza Novemba 08 hadi 20, 2024.