Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Mh.Hemed Suleiman Abdulla Mgeni Rasmi Ufunguzi wa Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA) itakayofanyika katika Uwanja wa Jamhuri Mkoani MOROGORO, inayofanyika kuanzia Tarehe 06 September 2024 na inatarajiwa kuchukua siku Kumi.

Mkuu wa Mkoa wa MOROGORO Mh. Adam Malima pamoja na Mnadhimu Mkuu wa JWTZ Luteni Jenerali Salum Haji Othuman wakiambatana na Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Mh.Hemed Suleiman Abdulla mkoani MOROGORO katika Ufunguzi wa Michezo ya Majeshi Tanzania(BAMMATA) Tarehe 06 September 2024.
Wakimpokea Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Mh.Hemed Suleiman Abdulla akiwasili
Ufunguzi wa Mashindano ya Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA)
Washiriki wa BAMMATA
Mchezo wa Volleyball Wanawake na Basketball Wanaume ukiendelea uwanjani
Mchezo wa Volleyball Wanawake na Basketball Wanaume ukiendelea katika Viwanja toafauti
Gwaride Maalum la Wanamichezo toka kanda y POLISI likipita mbele ya Mgeni Rasmi