Ufunguzi wa Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA) inayofanyika katika Uwanja wa Jamhuri Mkoani MOROGORO

Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Mh.Hemed Suleiman Abdulla  Mgeni  Rasmi Ufunguzi wa Michezo ya Majeshi  Tanzania (BAMMATA) itakayofanyika katika Uwanja wa Jamhuri  Mkoani  MOROGORO, inayofanyika  kuanzia Tarehe 06 September 2024 na inatarajiwa kuchukua siku Kumi.

Mkuu wa Mkoa wa MOROGORO Mh. Adam Malima pamoja na Mnadhimu Mkuu wa JWTZ Luteni Jenerali  Salum Haji Othuman wakiambatana na  Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Mh.Hemed Suleiman Abdulla mkoani MOROGORO  katika Ufunguzi wa Michezo ya Majeshi  Tanzania(BAMMATA) Tarehe 06 September 2024.