Habari na Matukio

TIMU YA KIKAPU YA JWTZ YAAGWA RASMI KUELEKEA UJERUMANI

Kwa Upande wa Manahodha wa Timu zote Mbili Faraja Malaki nahodha Wanawake na Baraka Sadick Nahodha Wanaume kwa Nyakati tofauti wameahidi kujituma na kutafuta Ushindi.Mashindano Hayo Yatakayofanyika kuanzia Tarehe 03 Hadi 10 Julai,2022 Nchini Ujerumani Huku Timu  Kutoka Marekani,Ufaransa,Saudi A... Read More