Habari na Matukio

Mchezo wa Riadha Kanda ya VISIWANI Januari 2022

Mchezo wa Riadha Kanda ya VISIWANI Januari 2022

Timu teule ya Riadha ya Brigedi ya NYUKI (101KV),Ikiwa katika kiwanja cha Brigedi wakiwa na kombe la ushindi wa tatu katika Mashindano ya Riadha Vilabu Bingwa Zanzibar.
Timu teule ya Squash Brigedi ya NYUKI (101KV)

Timu teule ya Squash Brigedi ya NYUKI (101KV)

Timu teule ya Squash Brigedi ya NYUKI (101KV)
Mashindano ya BAMMATA 2021 yafanyika Jijini Dodoma

Mashindano ya BAMMATA 2021 yafanyika Jijini Dodoma

Mashindano ya BAMMATA mwaka 2021 yafanyikia Jijini Dodoma , kanda za BAMMATA zajizolea ushindi katika michezo mbalimbali
BAMMATA yaendesha mashindano ya ulengaji shabaha

BAMMATA yaendesha mashindano ya ulengaji shabaha

Washiriki pamoja na wasimamizi wa mashindano ya Ulengaji Shabaha wakiwa katika Harakati za Mashindano ya Majeshi Tanzania BAMMATA yaliyofanyika february 2019 katika Viwanja vya Kunduchi Jijini Dar es Salaam.
Baraza la Michezo ya Majeshi Tanzania ladhamiria kutatua changamoto ya Michezo

Baraza la Michezo ya Majeshi Tanzania ladhamiria kutatua changamoto ya Michezo

Wajumbe wa Kamati Tendaji ya BAMMATA katika picha ya pamoja mara baada ya kikao cha Kamati hiyo kilichofanyika jijini Mbeya katika Bwalo la Magereza la Chuo Ruanda.Wa tatu kutoka kushoto mstari wa mbele ni mwenyekiti wa Baraza hilo Brigedia Jenerali CIRIL MHAIKI.
JWTZ yashiriki michezo ya majeshi -Nairobi Kenya 2019

JWTZ yashiriki michezo ya majeshi -Nairobi Kenya 2019

JWTZ lilishiriki katika Mzunguko wa 12 wa Michezo ya Majeshi ya Jumuiya ya Afrika Mashariki “EAC” iliyofanyikia Nairobi, nchini Kenya kuanzia tarehe 11 – 24 Aug 19. Pamoja na Tanzania washiriki wengine ni kutoka Burundi, Kenya, Rwanda, Sudan Kusini na Uganda. Michezo iliyoshirikishwa ni...