Mwenyekiti wa BAMMATA Brigedia Jenerali Suleiman B.
Gwaya , Katibu BAMMATA Kanali Martini S.Msumari na
Makamu mwenyekiti DCF Kennedy
C.Komba pamoja na Sekretarieti wahudhuria kikao cha
Kumi na Moja cha Kamati tendaji na kikao cha kwanza cha Kamati ya Mashindano ya
BAMMATA Kili...
Read More
Habari na Matukio
Wajumbe wahudhuria kikao cha
Kumi (10) cha Kamati Tendaji ya BAMMATA
Kilicho fanyika katika Ukumbi wa MBWENI JKT Dar es Salaam, Tarehe 20 Dec
-21/2022Ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa kumi wa BAMMATA wafanyika ukiogozwa na Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo wa WIZARA YA
UTAMADUNI SANAA NA M...
Read More
Timu
ya Mpira wa kikapu ilishirikisha Kiongozi mmoja (Chief of delegation), Mwalimu
na wachezaji idadi nane (08) walioshiriki mashindano ya kwanza ya Majeshi ya Dunia
kwa Mpira wa kikapu (3 by 3) yaliyofanyika Warendorf nchini Ujerumani. Shindano
hilo ni moja kati ya mashindano yanayoratibiwa na...
Read More
Kwa Upande wa Manahodha wa Timu zote Mbili Faraja Malaki nahodha Wanawake na Baraka Sadick Nahodha Wanaume kwa Nyakati tofauti wameahidi kujituma na kutafuta Ushindi.Mashindano Hayo Yatakayofanyika kuanzia Tarehe 03 Hadi 10 Julai,2022 Nchini Ujerumani Huku Timu Kutoka Marekani,Ufaransa,Saudi A...
Read More
Timu ya Handball toka kanda ya Ngome yawa mabingwa wa kombe la klabu Bingwa muungano Cup yaliyofanyika visiwani Zanzibar kuanzia tarehe 18- 23 May 22Pia handball wanawake waibuka kidedea kwa kuwa mabingwa mashindano katika hayo dhidi ya wanawake yaliyofanyika visiwani Zanzibar ...
Read More