Kamati tendaji na kikao cha kwanza cha Kamati ya Mashindano ya BAMMATA Kilicho fanyika katika Ukumbi wa MGULANI JKT
,-Katibu-Mkuu-Kanali-Martin-S.-Msumari-(kushoto)-na-Makamu-mwenyekiti-DCF-Kennedy-C.-Komba-kulia.jpg)
Mwenyekiti wa BAMMATA Brigedia Jenerali Suleiman B.
Gwaya , Katibu BAMMATA Kanali Martini S.Msumari na
Makamu mwenyekiti DCF Kennedy
C.Komba pamoja na Sekretarieti wahudhuria kikao cha
Kumi na Moja cha Kamati tendaji na kikao cha kwanza cha Kamati ya Mashindano ya
BAMMATA Kilicho fanyika katika Ukumbi wa
MGULANI JKT Dar es Salaam, Tarehe 13 Jan
2022.