Mwenyekiti wa BAMMATA Brigedia Jenerali Suleiman B. Gwaya , Katibu BAMMATA Kanali Martini S.Msumari na Makamu mwenyekiti DCF Kennedy C.Komba pamoja na Sekretarieti wahudhuria kikao cha Kumi na Moja cha Kamati tendaji na kikao cha kwanza cha Kamati ya Mashindano ya BAMMATA Kilicho fanyika katika Ukumbi wa MGULANI JKT Dar es Salaam, Tarehe 13 Jan 2022.
Mwenyekiti wa BAMMATA Brigedia Jenerali Suleiman B. Gwaya (katikati), Katibu Mkuu Kanali Martin S. Msumari (kushoto) na Makamu mwenyekiti DCF Kennedy C. Komba kulia wakiongoza kikao cha kamati tendaji
Kamati tendaji kwenye kikao katika ukumbi wa JKT Mgulani