Kamati tendaji na kikao cha kwanza cha Kamati ya Mashindano ya BAMMATA Kilicho fanyika katika Ukumbi wa MGULANI JKT

Mwenyekiti wa BAMMATA Brigedia Jenerali Suleiman B. Gwaya , Katibu BAMMATA Kanali Martini S.Msumari  na Makamu mwenyekiti  DCF Kennedy C.Komba  pamoja na Sekretarieti wahudhuria kikao cha Kumi na Moja cha Kamati tendaji na kikao cha kwanza cha Kamati ya Mashindano ya BAMMATA Kilicho fanyika katika Ukumbi  wa MGULANI  JKT Dar es Salaam, Tarehe 13 Jan 2022.