Timu ya Handball toka kanda ya Ngome yawa mabingwa wa kombe la klabu Bingwa muungan May 2022o Cup

Timu ya Handball toka kanda ya Ngome yawa mabingwa wa kombe la klabu Bingwa muungano Cup yaliyofanyika visiwani Zanzibar kuanzia tarehe 18- 23 May 22

Pia handball wanawake waibuka kidedea kwa kuwa mabingwa mashindano katika  hayo dhidi ya wanawake yaliyofanyika visiwani Zanzibar

Matukio katika picha

kanda ya Ngome  mabingwa wa kombe la klabu Bingwa muungano Cup yaliyofanyika visiwani Zanzibar kuanzia tarehe 18- 23 May 22

kanda ya Ngome mabingwa wa kombe la klabu Bingwa muungano Cup yaliyofanyika visiwani Zanzibar kuanzia tarehe 18- 23 May 22

Kanda ya Ngome Handball wanawake muungano Cup yaliyofanyika visiwani Zanzibar kuanzia tarehe 18- 23 May 22

Kanda ya Ngome Handball wanawake muungano Cup yaliyofanyika visiwani Zanzibar kuanzia tarehe 18- 23 May 22