Kikao cha Kumi (10) cha Kamati Tendaji ya BAMMATA Kilichofanyika katika Ukumbi wa MBWENI JKT Dar es Salaam

Ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa kumi wa BAMMATA wafanyika ukiogozwa na Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo wa WIZARA YA UTAMADUNI SANAA NA MICHEZO Mhe. Ally Mayay Tembele akiwa na viongozi wa Sekretariet ya Kamati Tendaji ya Baraza la Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA)

Wajumbe wahudhuria kikao cha Kumi (10) cha Kamati Tendaji ya BAMMATA Kilicho fanyika katika Ukumbi wa MBWENI JKT Dar es Salaam, Tarehe 20 Dec -21/2022

Matukio katika picha

Viongozi ngazi ya juu BAMMATA wakiongoza kikao

Viongozi ngazi ya juu BAMMATA wakiongoza kikao

Wenyeviti wa kanda BAMMATA

Wenyeviti wa kanda BAMMATA

Baadhi ya wataalamu na wajumbe wa BAMMATA

Baadhi ya wataalamu na wajumbe wa BAMMATA

Kikao cha pamoja na wajumbe wa BAMMATA

Kikao cha pamoja na wajumbe wa BAMMATA