Kikao cha Kumi (10) cha Kamati Tendaji ya BAMMATA Kilichofanyika katika Ukumbi wa MBWENI JKT Dar es Salaam

Wajumbe wahudhuria kikao cha Kumi (10) cha Kamati Tendaji ya BAMMATA Kilicho fanyika katika Ukumbi wa MBWENI JKT Dar es Salaam, Tarehe 20 Dec -21/2022
Ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa kumi wa BAMMATA wafanyika ukiogozwa na Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo wa WIZARA YA
UTAMADUNI SANAA NA MICHEZO Mhe. Ally Mayay Tembele akiwa na viongozi wa
Sekretariet ya Kamati Tendaji ya Baraza la Michezo ya Majeshi Tanzania
(BAMMATA)