Timu ya Riadha Kanda ya Ngome imeshiriki mashindano ya riadha ya "Tulia Marathon" yaliyofanyika jijini Mbeya kuanzia tarehe 06 - 07 Mei 2022 na kushika nafasi ya kwanza kwenye mbio zote ikiwemo 1500m, 10km, 32km na 42 km...
Read More
Habari na Matukio
Mwanariadha wa Tanzania toka Kanda ya Ngome Felix Alphonce Simbu wa kwanza toka kulia alishiriki mbio kubwa za Kimataifa za Milano Marathon zilizofanyika nchini Italia tarehe 03 Aprili 2022 na kuipeperusha bendera ya Tanzania kwa kushika nafasi ya tatu akitanguliwa na Wakenya wawili. WIziri wa&...
Read More
Mwenyekiti wa BAMMATA Brig Gen Suleiman Gwaya ametoa wito kwa kanda mbalimbali zinazounda BAMMATA kuongeza timu za Ngumi, Mchezo wa Vishale na Judo katika michezo ya majeshi inayotarajiwa kufanyika jijini Mbeya baadaye mwaka huu.Hayo ameyaongea siku ya tarehe 22 April 2022 katika kikao cha Kam...
Read More
Mwanariadha wa zamani wa Tanzania wa mbio za kati ambaye alishiriki katika miaka ya 1970 hadi 1980. Aliweka rekodi za dunia za mita 1500 mwaka 1974 na maili (8 year mile record) mwaka 1975. Bado ndiye mwanariadha anayeshikilia rekodi ya Michezo ya Jumuiya ya Madola ya mita 1500....
Read More
Mashindano ya BAMMATA mwaka 2021 yafanyikia Jijini Dodoma , kanda za BAMMATA zajizolea ushindi katika michezo mbalimbali...
Read More