BAMMATA MEDIA TOUR

Baraza la Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA) kupitia Mawasiliano na Matukio Inajulisha kwamba Utaratibu wa Kufanya MEDIA TOUR katika Vipindi vya TV& Radio unaendelea kufanyika katika Vyombo vya Habari Mbalimbali Mkoani Dar es Salaam.
Ifuatayo ni Ratiba ya MEDIA TOUR
1.Tarehe 25 Jan Radio Clouds FM Saa 3 Usiku
2.Tarehe 26 jan. ITV Saa 2 Asubuhi
3.Tarehe 27jan Wasafi Radio Asaa 2 Asubuhi
4.Tarehe 28 Jan Radio One Saa 9 Alasiri 9 Alasiri(musiki na Michezo)
5.Tarehe 29 Radio One(Tamasha la Michezo)
6.Tarehe 26 ETV Saa 7:30 Mchana
Inaombwa wanakamati wajitokeze kushiriki ziara hii Kwa Tarehe tajwa kama ilivyo wasilishwa hapo juu.
Tunaomba ushirikiano, AHSANTE.