Kanda ya SMZ katika Mashindano ya BAMMATA Mkoani Mtwara

Baadhi ya Wanamichezo toka Kanda ya SMZ wakionyesha Viongozi wa  Baraza la Wawakilishi Vikombe walivyoshinda katika Michezo ya Majeshi (BAMMATA) iliyofanyika  Mkoani Mtwara tarehe 09- 21 February 2023

Matukio katika picha

Baadhi ya Wanamichezo toka Kanda ya SMZ wakionyesha Viongozi wa  Baraza la Wawakilishi Vikombe walivyoshinda katika Michezo ya Majeshi (BAMMATA)

Baadhi ya Wanamichezo toka Kanda ya SMZ wakionyesha Viongozi wa Baraza la Wawakilishi Vikombe walivyoshinda katika Michezo ya Majeshi (BAMMATA)