Waziri wa Vijana,Utamaduni na Michezo Zanzibar Mh Tabia Maulid Mwita akiwana katika Sherehe maalum ya Kuwapongeza Wana michezo wa Kanda ya SMZ
-akiwa-katika-picha-ya-pamoja-na-wakuu-wa-vikosi-maalum-vya-SMZ.jpg)
Waziri wa Vijana,Utamaduni na Michezo Zanzibar
Mh Tabia Maulid Mwita (wakati) akiwa katika picha ya pamoja na wakuu wa vikosi
maalum vya SMZ katika Sherehe maalum ya Kuwapongeza Wana michezo wa Kanda ya
SMZ zilizo fanyika Zanzibar katika kambi ya KVZ, baada ya Ushindi mkubwa kwa
Kujinyakulia Vikombe Vingi katika Michezo ya BAMMATA iliyofanyika Mkoani Mtwara
kuanzia tar 9 – 21February ,2023