KUHUSU SISI

Baraza la Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA) ni chombo cha kitaalamu cha michezo kilichosajiliwa kihalali kwa lengo la kusimamia na kuratibu shughuli za michezo kwa Vyombo vya Ulinzi, Usalama na Idara Maalum za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ).Baraza hili lilianzishwa rasmi mwaka 1977, Likijumuisha kanda  nane ambazo ni Kanda ya Ngome, kanda ya JKT, Kanda ya Polisi, Kanda ya Magereza, Kanda ya Uhamiaji, Kanda ya Zimamoto, Kanda ya Visiwani na Kanda ya SMZUTAN...
Soma zaidi 🡢

Habari na Matukio

TANZANIA YANG'AA RIADHA KIMATAIFA

TANZANIA YANG'AA RIADHA KIMATAIFA

Tanzania imeendelea kung'ara katika anga la michezo ya kimataifa baada ya timu ya riadha ya Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) kufanya vizuri kwenye mashindano ya Majeshi ya Dunia.
JWTZ YATINGA UTURUKI ANTALYA KWA MASHINDANO YA DUNIA YA NUSU MARATHONI YA MAJESHI

JWTZ YATINGA UTURUKI ANTALYA KWA MASHINDANO YA DUNIA YA NUSU MARATHONI YA MAJESHI

WAWAKILISHI BAMMATA KIBARUANI UTURUKI KWENYE MASHINDANO YA DUNIA (3rd CISM World Military Half Marathon Championship)
KIKAO CHA MAANDALIZI BAMMATA

KIKAO CHA MAANDALIZI BAMMATA

KIKAO CHA MAANDALIZI YA MASHINDANO YA BAMMATA KILICHOFANYIKA MKOANI TABORA
Alphonce Simbu Aibuka Mshindi Mashindano ya Riadha ya Dunia 2025

Alphonce Simbu Aibuka Mshindi Mashindano ya Riadha ya Dunia 2025

Alphonce Simbu ashinda medali ya kwanza ya dhahabu ya Tanzania katika mbio za marathon za wanaume.
Kamati ya Utendaji ya BAMMATA Yawasili Zanzibar

Kamati ya Utendaji ya BAMMATA Yawasili Zanzibar

Baraza la Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA) Leo tarehe 03 September 2025 imewatembelea vijana wapiga Makachu eneo la Forodhani mjini Unguja Zanzibar katika kuelekea ufunguzi wa Mashindano ya Majeshi Tanzania yanayotarajiwa kuanza mnamo tarehe 06 September 2025.
Mwenyekiti wa Kamati Ndogo ya Uchumi Mipango na Fedha ya BAMMATA Aendesha Kikao.

Mwenyekiti wa Kamati Ndogo ya Uchumi Mipango na Fedha ya BAMMATA Aendesha Kikao.

Mwenyekiti wa Kamati Ndogo ya Uchumi Mipango na Fedha ya Baraza la Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA) DCF Kennedy Komba ameongoza kikao tarehe 10 March 2025 Kwenye ukumbi wa Corridor Spring hotel jijini Arusha
Wajumbe wa Kamati Ndogo ya BAMMATA ya mipango, uchumi na fedha wakiwa kwenye mkutano kujadili mambo mbali mbali ya kichumi na fedha

Wajumbe wa Kamati Ndogo ya BAMMATA ya mipango, uchumi na fedha wakiwa kwenye mkutano kujadili mambo mbali mbali ya kichumi na fedha

Wajumbe wa Kamati Ndogo ya BAMMATA ya mipango, uchumi na fedha wakiwa kwenye mkutano kujadili mambo mbali mbali ya kichumi na fedha uliofanyikableo tarehe 10 March 2025 kwenye ukumbi wa Corridor Spring hotel jijini Arusha