Magereza washinda Mchezo wa Judo vilabu vya majeshi East Africa

Timu ya Judo ikiwa na vikombe vya mshindi wa kwanza wa mashindano ya Vilabu vya majeshi ya East Africa yaliyofanyika Moshi Tanzania December 6-12,2021 walioshika vikombe ni Afande RPO Mkoa wa Kilimanjaro na Afande Mkuu wa Gereza Karanga Moshi