Katibu Mkuu wa Baraza la Michezo ya Majeshi Tanzania(BAMMATA) Kanali Martini Msumari(wa pili toka kulia) akiwa katika picha ya Pamoja na Washindi wa Tuzo za BMT kutoka Kanda ya ya NGOME (JWTZ) ya BAMMATA,Kasimu Mbundwike(kushoto)mAlphonce Simbu na Changarawe (kulia) katika Sherehe ya Utoaji wa Tuzo za BMT iliyofanyika katika Ukumbi wa Mlimani City, Dar Es Salaam, Tar 17 Mar 2023
Makamu mwenyekiti wa BAMMATA, DCF Kennedy Komba(wa kwanza kushoto) akiwa na Washindi wa Tuzo za BMT kutoka Kanda ya ya NGOME (JWTZ) ya BAMMATA
Katibu Mkuu wa Baraza la Michezo ya Majeshi Tanzania(BAMMATA) Kanali Martini Msumari(wa pili toka kulia) akiwa na Washindi wa Tuzo za BMT
Mh Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Dk Pindi Chana akimkabidhi Mshindi wa Tuzo ya Jumla kwa Wanaume ya mwaka 2022 Sajenti Alphonce Simbu katika
Mwanariadha wa zamani toka Kanali Mstaafu Juma Ikangaa (wa kwanza kulia) akiwa na Makamu mwenyekiti wa BAMMATA, DCF Kennedy Komba