Mwanariadha wa mbio ndefu wa Jeshi la Magereza John Burra

Ni mwanariadha mwingine wa mbio ndefu wa jeshi la Magereza anayeitwa John Burra ambaye ameliwakilisha Taifa katika mashindano mbalimbali.

§  Mwaka, 1987 alishinda Amsterdam Marathon na kushika nafasi ya 1

§  Mwaka, 1988 alishiriki Marathon katika mashindano ya Olympic na kushika nafasi ya 43.

§  Mwaka, 1990 alishiriki Amsterdam Marathon, Netherlands na kushika nafasi ya 2.

§  Mwaka, 1991 alishiriki Half Marathon, Netherlands na kushika nafasi ya 1.

§  Mwaka, 1991 alishikiri Madrid Marathon, Spain na kushika nafasi ya 1.

§  Mwaka, 1992 alishiriki Marathon katika mashindano ya Olympic, Bacelona Hispania ambapo hukuweza kumaliza