Timu ya mpira wa Wavu (Volleyball) kanda ya Ngome yashiriki ligi ya mkoa wa Dar es Salaam
Timu ya mpira wa Wavu (Volleyball) kanda ya Ngome ikiendelea na ushiriki wa ligi ya mkoa wa Dar es Salaam (DAREVA) mwaka 2022, yanayofanyika jijini Dar es Salaam.