Timu ya Riadha Kanda ya Ngome imeshiriki mashindano ya riadha ya "Tulia Marathon"

Timu ya Riadha Kanda ya Ngome imeshiriki mashindano ya riadha ya "Tulia Marathon" yaliyofanyika jijini Mbeya kuanzia tarehe 06 - 07 Mei 2022 na kushika nafasi ya kwanza kwenye mbio zote ikiwemo 1500m, 10km, 32km na 42 km.

Matukio katika picha

Jacline Sakilu JWTZ mshindi wa kwanza kwa wanawake

Jacline Sakilu JWTZ mshindi wa kwanza kwa wanawake

Washindi medan Tulia cup

Washindi medan Tulia cup

Tulia cup washindi

Tulia cup washindi

mshindi wa pili wanawake Tulia cup Marathon kanda Ngome

mshindi wa pili wanawake Tulia cup Marathon kanda Ngome

Mshiriki wa Tulia Marathon cup

Mshiriki wa Tulia Marathon cup

Mashindano ya Tulia cup

Mashindano ya Tulia cup