Timu za ngome handball wanaume na wanawake walishiriki mashindano ya klabu bingwa Taifa yaliyofanyika Bunda Mkoani Mara mwezi marchi 2022, timu ya wanaume ilikuwa mabingwa na wanawake washindi wa pili.
timu kapteni wa ngome Joel Babara handball akipokea kikombe cha ubingwa wa klabu bingwa taifa miaka minne mfululizo mashindano ya bunda mara Mar 22.
Timu za ngome handball wanawake walishiriki mashindano ya klabu bingwa Taifa yaliyofanyika Bunda Mara
Timu za ngome handball wanaume na walishiriki mashindano ya klabu bingwa Taifa yaliyofanyika Bunda Mara
timu za ngome handball wanawake walishiriki mashindano