Timu za ngome handball wanaume na wanawake walishiriki mashindano ya klabu bingwa Taifa mach 2022
Timu za ngome handball wanaume na wanawake walishiriki mashindano ya klabu bingwa Taifa yaliyofanyika Bunda Mkoani Mara mwezi marchi 2022, timu ya wanaume ilikuwa mabingwa na wanawake washindi wa pili.